Haki Ngowi engagement report
@Hakingowi - 438K followers on X
Measured over 1 original post from a 30-day window, last computed on August 30, 2026.
Engagement
Early reading. We have captured 1 original post for this account, below the 8 we require before treating a median as settled. The numbers above describe what we have seen so far, not a finished profile of the account.
A typical post picks up 47 interactions against 438K followers, an engagement rate of 0.011%. Posts are seen about 37K times each, and 0.129% of those impressions turn into an interaction. That is about 8.36% of the follower count, which is the gap between an audience on paper and an audience in a timeline. Posting runs at about 0.03 posts a day over the last 30 days, though only 3% of days saw any activity at all. Most posts go out around 18:00 UTC, and Tuesday is the busiest day of the week. Of the 1 posts sampled, 100% carry an image or video. The account's strongest tracked post pulled 47 interactions. Only 1 original post have been captured so far, fewer than the 8 posts we want behind a median before treating it as settled. Read the figures above as an early measurement of this account, not as a finished profile of it.
Measured over 1 original post from a 30-day window, last computed on August 30, 2026.
Where this sits in the catalog
At 0.011%, Haki Ngowi sits above the 10th percentile of the 36,654 accounts in this comparison. That places it in the bottom 25% band, which runs below 0.012%.
Show the percentile table
| Percentile | Engagement rate |
|---|---|
| 10th percentile | 0.002% |
| 25th percentile | 0.012% |
| 50th percentile | 0.08% |
| 75th percentile | 0.433% |
| 90th percentile | 2.10% |
| 99th percentile | 160.5% |
This ruler is the whole measured catalog, not a size-matched group: it shows where the raw rate falls across every account we can measure, all of which are large. For a like-for-like comparison, read the size-band percentile above instead. See how the bands are built
Posting timing
This account posts most often around 18:00 UTC, and Tuesday is its busiest day of the week. The bars below are the catalog-wide pattern, with this account's own busiest slot marked. They do not show how this account performs at each hour: we keep one aggregate per account, not one per hour, so that measurement does not exist in our data.
Show engagement by hour posted, utc as a table
| Hour (UTC) | Vs author median | Posts |
|---|---|---|
| 00:00 UTC | -1% | 51K |
| 01:00 UTC | -2% | 52K |
| 02:00 UTC | -3% | 50K |
| 03:00 UTC | -4% | 53K |
| 04:00 UTC | -6% | 43K |
| 05:00 UTC | -4% | 42K |
| 06:00 UTC | -4% | 48K |
| 07:00 UTC | -5% | 52K |
| 08:00 UTC | -4% | 61K |
| 09:00 UTC | -3% | 70K |
| 10:00 UTC | -2% | 72K |
| 11:00 UTC | -3% | 78K |
| 12:00 UTC | -2% | 86K |
| 13:00 UTC | -2% | 94K |
| 14:00 UTC | -4% | 97K |
| 15:00 UTC | -2% | 101K |
| 16:00 UTC | -3% | 98K |
| 17:00 UTC | -2% | 91K |
| 18:00 UTC | -1% | 85K |
| 19:00 UTC | -1% | 80K |
| 20:00 UTC | -1% | 74K |
| 21:00 UTC | -1% | 66K |
| 22:00 UTC | -1% | 57K |
| 23:00 UTC | -2% | 52K |
Show engagement by day of week as a table
| Day | Vs author median | Posts |
|---|---|---|
| Sunday | +4% | 231K |
| Monday | 0% | 288K |
| Tuesday | -2% | 278K |
| Wednesday | -1% | 251K |
| Thursday | -1% | 245K |
| Friday | -3% | 253K |
| Saturday | +3% | 227K |
Best tweets
- Aug 11, 2026
Imeelezwa kuwa Tume ya Uchunguzi wa Kijinai wa matukio ya wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29 ni Tume ambayo imeundwa Kisheria na Kikatiba na hivyo Tume halali ambayo iko kisheria. Hayo yamebainishwa na Wakili Msomi Sweetbert Nkuba wakati akizungumza na wanahabari na kueleza hata uwezo na sifa za Wajumbe zimezingatia viwango vya kisheria hasa kwa kuweka Wajumbe kutoka nje ya Tanzania na kufanya Tume hiyo kuwa huru na isiwe Tume ya nchi kujichunguza wenyewe.
- May 7, 2026
📍Dodoma ▪️DKT. MWIGULU AELEKEA MOROGORO KWA ZIARA YA KIKAZI WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Mei 7, 2026 amesafiri kwa Treni ya reli ya kiwango cha kimataifa (SGR) kutoka jijini Dodoma kuelekea Morogoro ambapo kesho Mei 8, 2026 anatarajiwa kuwa na ziara ya kikazi mkoani humo. Mheshimiwa Dkt. Mwigulu ameambatana na Waziri wa Nchi- Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) Prof. Palamagamba Kabudi, pamoja na Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Ashatu Kijaji.
- Jul 30, 2026
📍BARABARA ZA AFCON VIDEO RC MAKALLA ATAKA WALIOLIPWA FIDIA KUONDOKA KUPISHA UJENZI WA BARABARA ZA AFCONA Amshukuru Rais Samia kuwezesha barabara zote muhimu kwa ajili ya AFCON Asema Barabara hizo zitaondosha foleni na kuchochea utalii. https://t.co/SO4NnreCGu
- May 7, 2026
📍Dodoma ▪️DKT.MWINYI ASHIRIKI KIKAO CHA NEC Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi ameshiriki Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC) kilichokutana Dodoma leo tarehe 07 Mei, 2026. Kikao hicho kimeongozwa na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.
- May 8, 2026
📍Bungeni, Dodoma Viongozi mbalimbali wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia na Wanafunzi Leo, wakifuatilia kwa makini uwasilishaji wa Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha kwa mwaka wa fedha 2026/2027, iliyosomwa Bungeni na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda.
- Jul 24, 2026
📍 Zanzibar PICHA ZAIDI RAIS DKT. MWINYI AWAAPISHA VIONGOZI WANNE WATEULE IKULU ZANZIBAR Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewaapisha viongozi wanne aliowateua hivi karibuni, wakiwemo majaji wawili wa Mahakama Kuu ya Zanzibar. Rais Dkt. Mwinyi amewaapisha viongozi hao leo, tarehe 24 Julai 2026, katika hafla iliyofanyika Ikulu Zanzibar.
- Jul 24, 2026
📍Kunduchi, Dar es Salaam. PICHA ZAIDI Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mheshimiwa Dkt. Rhimo Nyansaho (Mb), tarehe 23 Julai 2026, amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika Mahafali ya 14 ya Chuo cha Taifa cha Ulinzi yaliyofanyika Kunduchi, jijini Dar es Salaam.
- May 11, 2026
📍Kenya ▪️WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU AKUTANA NA RAIS WA IFAD, NAIROBI ▪️Wajadili Kilimo himilivu na uendelezaji wa Kilimo Biashara WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Mei 11, 2026 amekutana na Rais wa Shirika la Kimataifa la Maendeleo ya Kilimo (IFAD), Alvaro Lario, jijini Nairobi, Kenya, ambapo wamejadili maeneo mbalimbali ya ushirikiano katika sekta ya kilimo na uwezeshaji wa wananchi kiuchumi. Katika mazungumzo hayo, Dkt. Mwigulu amesema Tanzania itaendelea kushirikiana na IFAD katika maeneo mbalimbali ikiwemo kilimo himilivu cha tabianchi, maendeleo ya kilimo biashara, mapinduzi ya kidijitali katika sekta ya kilimo pamoja na uwezeshaji wa vijana na wanawake kiuchumi. Aidha, Waziri Mkuu amesema Tanzania inatarajia kuendelea kushirikiana na IFAD katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo ya kilimo ikiwemo mpango wa kuongeza uzalishaji wa alizeti ili kusaidia kuongeza upatikanaji wa mafuta ya kula nchini. “Kimekuwa ni kikao kizuri kwa sababu tumekuwa na ushirikiano nao kwa muda mrefu, ambapo katika kipindi kilichopita tumeshirikiana nao katika miradi mbalimbali, na hasa miradi katika sekta za uzalishaji”. “Lakini pia tumedhamiria kuendelea kushirikiana katika kuendeleza mazao ya mchanganyiko ambayo katika miaka ya nyuma ilikuwa inachukuliwa kuwa ni mazao ya chakula peke yake, kwasasa mazao haya niya biashara na tunayafanya sehemu ya kukuza biashara ambayo Tanzania inafanya na nchi nyingine” Ameongeza kuwa Tanzania inatarajia kuendelea kushirikiana na IFAD katika sekta ya mifugo na mazao ya baharini kwa upande wa Zanzibar. “Sambamba na hayo, tunategemea kushirikiana nao katika utekelezaji wa kilimo endelevu ambacho kinasaidia kampeni yetu ya kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi nchi”. Amesisitiza Dkt. Mwigulu Kwa upande wa Rais wa IFAD Alvaro Lario, amesema kuwa wataendelea kuhakikisha mipango na utekelezaji wa IFAD vinaendana na malengo ya Dira ya Taifa ya Maendeleo ya Tanzania 2050 “Kwasasa tunasubiri kusikia vipaumbele ya Tanzania ili tujue namna gani tunaweza kusaidia katika maeneo vya utoshelevu na usalama wa chakula pamoja na uongezaji thamani wa mazao”
- May 9, 2026
📍Ngara,Kagera ▪️Waziri Ndejembi awasili Ngara - Kagera kwa ziara ya kikazi. Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius J. Ndejembi amewasili wilayani Ngara mkoani Kagera kwa ziara ya kikazi na kupokelewa na Mkuu wa Wilaya ya Ngara, Kanali Martius Kahabi, leo tarehe 09 Mei 2026. Amepewa mapokezi pia na viongozi wa Serikali na Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kagera, wakiwemo Katibu Tawala wa Mkoa wa Kagera, Stephen Mashauri Ndaki, Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Ngara, Vitalis Ndailagije pamoja na Mbunge wa Jimbo la Ngara, Mhe. Dotto Bahemu. Akiwa wilayani Ngara, Waziri Ndejembi ataweka jiwe la msingi la mradi wa ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme ya msongo wa kilovoti 220 kutoka Benaco hadi Kyaka pamoja na kituo cha kupoza umeme cha Benaco. Katika ziara hiyo, Waziri Ndejembi ameambatana na Kamishna Msaidizi wa Umeme Wizara ya Nishati, Mhandisi Christopher Bitesigirwe, Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, Lazaro Twange pamoja na wataalam kutoka Wizara ya Nishati na TANESCO.
- Jul 6, 2026
📍Paris, Ufaransa. DKT. MWIGULU AALIKA WAFANYABIASHARA WA UFARANSA KUWEKEZA TANZANIA. WAZIRI MKUU Dkt Mwigulu Nchemba amewaalika wafanyabiashara kutoka Ufaransa wawekeze nchini Tanzania kwani ina fursa ya kutengeneza ajira, kuhamisha ujuzi na kujenga uchumi wa viwanda kwa faida ya nchi zote mbili. “Leo tumefanya mjadala wa kibiashara na sote tumeshuhudia makubaliano yakisainiwa baina ya Tanzania Private Sector Foundation na International Chamber of Commerce (ICC). Makubaliano haya siyo tu mkataba wa kawaida bali ni daraja la kutupeleka kwenye mafanikio makubwa huko mbele,” amesema. Waziri Mkuu ametoa wito huo leo (Jumatatu, Julai 6, 2026) wakati akizungumza na washiriki wa mjadala wa kibiashara baina ya Tanzania na Ufaransa (Tanzania-France Business Roundtable) uliofanyika kwenye ofisi za ubalozi wa Tanzania jijini Paris, Ufaransa. “Kwa hiyo ninawahimiza wafanyabiashara wa Ufaransa mtumie vyema fursa hii ya kipekee. Maamuzi yatakayofanywa leo ndiyo yatakayoamua mwelekeo wa sekta za uchumi za kesho kwa nchi zetu. Wale watakaowekeza nchini Tanzania hivi sasa, hawatakuwa tu sehemu ya mageuzi ya uchumi wetu, bali watakuwa washirika wa thamani katika kujenga moja ya uchumi wenye ushindani mkubwa zaidi barani Afrika kwa vizazi vijavyo.” Dkt. Mwigulu amesema Ufaransa inao utaalamu wa hali ya juu na wa kiwango cha kimataifa katika teknolojia, uhandisi, nishati, miundombinu, viwanda, masuala ya fedha, na huduma za afya. “Kwa upande wake, Tanzania inao utulivu wa kisiasa, nafasi yake ya kijiografia imekaa kimkakati, inazo rasilimali nyingi za asili, fursa shindani za uwekezaji, usimamizi thabiti wa uchumi pamoja na nguvukazi ya vijana wengi na yenye ari kubwa barani Afrika.” Amesema maeneo hayo yana nguvu na yanakamilishana kwani katika umoja wake yanajenga fursa za kipekee za kukuza maendeleo endelevu na ustawi wenye manufaa ya pande zote mbili. “Tunapoanza kwa ujasiri kutekeleza malengo ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, Serikali yetu itaendelea kuwa thabiti katika kuhakikisha kunakuwepo mazingira yanayotabirika, yenye uwazi na rafiki kwa biashara, ambapo uwekezaji unalindwa, ushirikiano unathaminiwa, na mafanikio yanawanufaisha wadau wote,” amesisitiza. Waziri Mkuu pia alishuhudia utiaji saini wa Hati ya Makubaliano (MoU) kati ya Chama cha Kimataifa cha Biashara cha Ufanransa (ICC) na Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF), ambapo Mtendaji Mkuu wa TPSF, Bw. Deo Massawe alibadilishana hati hiyo na Naibu Katibu Mkuu wa ICC, Bw. Julian Kassum. Mapema, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo, aliwaeleza washiriki wa mjadala huo kwamba kitendo kilichofanyika leo kinaendana na malengo ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 ambayo inasisitiza ushiriki wa sekta binafsi kwa asilimia 70 katika kuchochea maendeleo ya uchumi. Kwa upande wake, Rais wa TPSF, Bi. Angelina Ngalula alisema Tanzania ipo katika nafasi ya kipekee ya kuwa kitovu cha mageuzi ya uchumi barani Afrika chini ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan. “Kwa miaka mingi, Ufaransa imekuwa mshirika muhimu wa Tanzania katika uwekezaji. Hata hivyo, kwa sasa tunapaswa kuelekeza nguvu zetu katika kujenga ushirikiano wa muda mrefu utakaokuza uhamishaji wa teknolojia, kukuza sekta ya utalii, huduma za kifedha pamoja na uchumi wa kidijitali. TPSF iko tayari kuwezesha ushirikiano huo kati ya wafanyabiashara wa Tanzania na wenzao wa Ufaransa,” alisema. Baadhi ya kampuni za Ufaransa zilizoshiriki mjadala huo zinajihusisha na usimamizi wa nishati ya jua (ikiwemo mifumo ya taa za barabarani), usafirishaji, maji, nishati, ujenzi, viwanda, mazingira na ufugaji wa viumbe maji (ikiwemo uzalishaji wa mwani wa baharini). Kampuni nyingine ni waendeshaji wa huduma za satelaiti wanaotoa suluhisho bunifu kwa huduma za utangazaji wa sauti na picha, intaneti ya kasi (broadband), huduma za data, usafiri wa baharini na anga. Aidha, kulikuwa na wazalishaji wa mabomba maalumu yanayotumika katika sekta ya mafuta na gesi. Mkutano huo pia ulihudhuriwa na Waziri wa Madini, Anthony Mavunde; Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi; Balozi wa Tanzania nchini Ufaransa na Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika UNESCO, Balozi Saidi Othman Yakubu; Mtendaji Mkuu wa MEDEF International, Bw. Philippe Gautier; Rais wa Baraza la Biashara la Ufaransa na Afrika Mashariki, Bi. Celine Gouveia; pamoja na wajumbe kutoka sekta binafsi ya Tanzania na ujumbe wa wafanyabiashara kutoka Ufaransa.
Ranked by total interactions across everything we have tracked for this account, which is a longer history than the 30-day window the rates above use. The multiple compares each post to this account's own median.
Buy or sell X accounts - escrow-protected
PlayerSells is an escrow marketplace for X accounts. Every deal is protected, with no middleman risk.
Reading these numbers
A typical post picks up 47 interactions against 438K followers, an engagement rate of 0.011%. Posts are seen about 37K times each, and 0.129% of those impressions turn into an interaction. That is about 8.36% of the follower count, which is the gap between an audience on paper and an audience in a timeline. Posting runs at about 0.03 posts a day over the last 30 days, though only 3% of days saw any activity at all. Most posts go out around 18:00 UTC, and Tuesday is the busiest day of the week. Of the 1 posts sampled, 100% carry an image or video. The account's strongest tracked post pulled 47 interactions. Only 1 original post have been captured so far, fewer than the 8 posts we want behind a median before treating it as settled. Read the figures above as an early measurement of this account, not as a finished profile of it.
- What is Haki Ngowi's engagement rate on X?
- Haki Ngowi (@Hakingowi) has an engagement rate of 0.011%, based on the median interactions across 1 original posts from the last 30 days against 437,602 followers. Replies, reposts and quote-posts of other people are excluded from that sample.
- Is that a good engagement rate?
- At 0.011%, Haki Ngowi sits above the 10th percentile of the 36,654 accounts in this comparison. Those comparison accounts are all large ones, because our scanning cadence is weighted towards big accounts, so this is a ranking among peers of similar scale rather than a ranking across X.
- Does @Hakingowi have real engagement?
- There is not yet enough sample to rank this account against others of its size.
- When does @Hakingowi post?
- Most posts go out around 18:00 UTC, and Tuesday is its busiest day, at roughly 0.03 posts per day across the measured window.