Jambo TV engagement report
@Jambotv_ - 960K followers on X
Measured over 40 original posts from a 30-day window, last computed on August 20, 2026.
Engagement
A typical post picks up 26 interactions against 960K followers, an engagement rate of 0.003%. Measured over 40 original posts, its engagement rate beats 23% of 1,003 tracked accounts of a similar size. That is a reason to look at how the audience behaves - reply depth, saves, whether the followers are recent - rather than a conclusion about it on its own. Posts are seen about 3.5K times each, and 0.724% of those impressions turn into an interaction. That is about 0.367% of the follower count, which is the gap between an audience on paper and an audience in a timeline. Posting runs at about 1.3 post a day over the last 30 days, though only 10% of days saw any activity at all. Most posts go out around 12:00 UTC, and Wednesday is the busiest day of the week. Of the 40 posts sampled, 93% carry an image or video and 13% link out. The account's strongest tracked post pulled 202 interactions, about 7.8x its own typical post.
Measured over 40 original posts from a 30-day window, last computed on August 20, 2026.
Compared with accounts its own size
Jambo TV's engagement rate beats 23% of the tracked X accounts closest to it in follower count (1,003 accounts, accounts of similar size (decile 6 of 10)). A percentile is spread evenly by construction, so 50 really is the middle of that group and 90 really is its top tenth.
On engagement per impression rather than per follower it beats 45% of the same group. When those two numbers disagree, the gap is about how far its posts travel rather than how people react to them.
Where this sits in the catalog
At 0.003%, Jambo TV sits above the 10th percentile of the 9,981 accounts in this comparison. That places it in the bottom 25% band, which runs below 0.007%.
Show the percentile table
| Percentile | Engagement rate |
|---|---|
| 10th percentile | 0.001% |
| 25th percentile | 0.007% |
| 50th percentile | 0.047% |
| 75th percentile | 0.325% |
| 90th percentile | 2.60% |
| 99th percentile | 357.9% |
This ruler is the whole measured catalog, not a size-matched group: it shows where the raw rate falls across every account we can measure, all of which are large. For a like-for-like comparison, read the size-band percentile above instead. See how the bands are built
Posting timing
This account posts most often around 12:00 UTC, and Wednesday is its busiest day of the week. The bars below are the catalog-wide pattern, with this account's own busiest slot marked. They do not show how this account performs at each hour: we keep one aggregate per account, not one per hour, so that measurement does not exist in our data.
Show engagement by hour posted, utc as a table
| Hour (UTC) | Vs author median | Posts |
|---|---|---|
| 00:00 UTC | 0% | 15K |
| 01:00 UTC | +4% | 15K |
| 02:00 UTC | -1% | 14K |
| 03:00 UTC | -2% | 15K |
| 04:00 UTC | -5% | 12K |
| 05:00 UTC | -5% | 12K |
| 06:00 UTC | -7% | 13K |
| 07:00 UTC | -6% | 14K |
| 08:00 UTC | -7% | 17K |
| 09:00 UTC | -2% | 19K |
| 10:00 UTC | -2% | 20K |
| 11:00 UTC | -2% | 22K |
| 12:00 UTC | -1% | 24K |
| 13:00 UTC | +1% | 27K |
| 14:00 UTC | -2% | 29K |
| 15:00 UTC | -1% | 30K |
| 16:00 UTC | -1% | 30K |
| 17:00 UTC | -1% | 28K |
| 18:00 UTC | +1% | 25K |
| 19:00 UTC | 0% | 24K |
| 20:00 UTC | 0% | 22K |
| 21:00 UTC | +1% | 19K |
| 22:00 UTC | +1% | 17K |
| 23:00 UTC | +1% | 15K |
Show engagement by day of week as a table
| Day | Vs author median | Posts |
|---|---|---|
| Sunday | +8% | 59K |
| Monday | +8% | 72K |
| Tuesday | +1% | 94K |
| Wednesday | -4% | 78K |
| Thursday | -3% | 71K |
| Friday | -5% | 73K |
| Saturday | +2% | 64K |
Formats this account uses
Its own posting mix on the left, and what each of those formats does across every account we track on the right. Only formats where the effect clears our publish test appear here, so an empty row is a format we could not measure rather than one that does nothing.
| Format | This account | Catalog effect | 95% interval | Accounts behind it |
|---|---|---|---|---|
| Image or video | 93% of posts | +79% | +73% to +85% | 5.8K |
| Outbound link | 13% of posts | -49% | -50% to -47% | 6.1K |
| Typical length | - | +13% | +10% to +15% | 6.4K |
- 93% of this account's sampled posts carry an image or video. Across the catalog, posts with an image or video run 79% above the same accounts' other posts.
- 13% of its posts carry a link off X. Across the catalog, posts with an outbound link run 49% below the same accounts' other posts.
- Its average post runs 1602 characters, which falls in the over 280 characters band. Across the catalog, posts over 280 characters run 13% above the same accounts' other posts.
These are catalog-wide differences applied to this account's own posting mix, not a measurement of how each format performs for this account specifically. We keep one median per account, not one per format per account, so the second thing is not something this data can tell you.
Best tweets
- Aug 17, 20267.8x their median
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Tundu Lissu ameieleza Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo Dar es Salaam kuwa hana kesi ya kujibu katika shauri la uhaini linalomkabili huku akiiomba mahakama kutamka kuwa hana hatia na itamke kuwa anatakiwa kulipwa fidia. Akiwasilisha hoja zake leo Agosti 17, 2026 mbele ya jopo la Majaji watatu wakiongozwa na Jaji Dunstan Ndunguru Lissu akitumia kifungu cha 312(1) cha Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai(CPA) amesema upande wa Jamhuri umeshindwa kuthibitisha ile aliyoiita Prima facie case (kutokuwa na kesi ya kujibu). Lissu ameieleza Mahakama kuwa kuwa Prima facie evidence/case ni ushahidi wa upande wa mashtaka pekee yake kama haujafikia kiwango cha kumtia mtuhumiwa hatiani usipojibiwa hakuna hatia na Mahakama inatakiwa kurekodi mtuhumiwa kutokua na hatia. Akitumia kifungu cha 312(1) cha Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai na maamuzi ya Mahakama katika kesi kadhaa ikiwemo ya kesi ya Rambaklal Trambaklal Bhatt dhidi ya Jamhuri amesema zimetengeneza misingi ya kisheria juu ya kitu gani mahakama inatakiwa kufanya kuhusiana na hoja ya kutokuwa na kesi ya kujibu. Sababu ziliaoainishwa na mahakama hizo ni kuwa ni utiifu wa Jamhuri ya Muungano, lazima kuwe na uthibitisho wa nia ya kufanya kitendo cha uhaini na hiyo nia lazima ithibitishwe kwa maandishi au matendo ya wazi. Anaeleza kuwa suala la utiifu kwa Jamhuri ya Muungano halina mjadala na suala lenye shida ni je kulikuwa na nia ya dhati ya kufanya uhaini akieleza kuwa katika maneno yaliyoandikwa kwenye hati ya mashtaka ambayo aliyatoa April 3, 2025 na pia kupitia ushahidi wa mashahidi 17 wa jamhuri hakuna sehemu alipoonyesha nia ya kuitisha serikali kwani hakuna sehemu ilipotamkwa. Lissu anasema kwa mujibu wa Sheria ya Uchaguzi wa Rais Wabunge na Madiwani ya mwaka 2023, Sheria ya Kanuni ya Adhabu na sheria zingine hazithibitishi kosa la uhaini analodaiwa kulifanya. Soma zaidi kwenye website yetu ya https://t.co/0iWq6889JT
- Aug 17, 20265.3x their median
Wakili wa Kujitegemea, Peter Madeleka, ameachiwa kwa dhamana leo Agosti 17, 2026, baada ya kushikiliwa kwa takriban siku tatu katika Kituo Kikuu cha Polisi (Central) Dar es Salaam. Upatikanaji wa dhamana hiyo umethibitishwa na Wakili Paul Kisabo kutoka Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), ambaye amekuwa akifuatilia mchakato huo tangu asubuhi ya leo. Akizungumza na Jambo TV kwa njia ya simu, Kisabo ameeleza kuwa licha ya Wakili Madeleka kutofikishwa mahakamani ndani ya saa 24 kama sheria inavyoelekeza, Jeshi la Polisi limeridhia kumpa dhamana. Akielezea mchakato wa kuachiliwa kwake, Wakili Kisabo amesema: “Asubuhi niliamkia Central Policy Station Dar es Salaam kwa ajili ya kufuatilia dhamana yake. Na baada ya kufika nilikutana na ZCO na kuzungumza naye kuomba dhamana ya wakili Madeleka lakini yeye ZCO aliniambia nirudi mchana saa 8” Baada ya kurejea kituoni hapo majira ya mchana, taratibu za dhamana zilikamilika kwa Madeleka kudhaminiwa na watu watatu. “Amekubali kwamba Madeleka adhaminiwe na watu watatu tumemdhamini kwa maana ya mimi Paul Kisabo nimemdhamini pamoja na ndugu zake wengine wawili... dhamana iko wazi na tumemdhamini,” ameongeza Wakili Kisabo. Kuhusu utaratibu wa kumfikisha mahakamani, Wakili Kisabo amebainisha kuwa msisitizo wao kwa sasa ulikuwa ni kupata dhamana ya polisi ili mteja wao aweze kuwa nje wakati taratibu zingine zikiendelea. Wakili Peter Madeleka alikamatwa Agosti 14, 2026, majira ya saa 9:30 alasiri akiwa katika viunga vya Mahakama ya Uhujumu Uchumi (Mikocheni B) wakati akitekeleza majukumu yake ya kitaaluma. Kwa mujibu wa Jeshi la Polisi, Madeleka alishikiliwa kwa tuhuma za kudharau amri za Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi zilizotolewa tarehe 27 Julai na 13 Agosti, 2026. Ukamataji huo ulitokea saa chache baada ya Madeleka kutangaza nia ya kufungua kesi kupinga zuio la Msajili wa Mahakama Kuu linalowazuia mawakili kufanya mahojiano na vyombo vya habari ndani ya maeneo ya mahakama.
- Aug 18, 20264.8x their median
Serikali imewapa siku saba wamiliki wa viwanda vya kuzalisha saruji nchini kuwasilisha mapendekezo ya namna ya kutatua changamoto ya bei kubwa ya saruji sokoni pamoja na kero ya kuadimika kwa bidhaa hiyo. Msimamo huo umefikiwa kufuatia kikao cha pamoja kilichoongozwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Balozi Waziri Salum, alipokutana na kufanya mazungumzo na wamiliki wa viwanda vya saruji, Agosti 18, 2026, jijini Dodoma. Kikao hicho kimehudhuriwa pia na viongozi wa taasisi mbalimbali za udhibiti, viwango na masoko nchini ikiwemo Tume ya Ushindani (FCC), Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade), pamoja na Wakurugenzi kutoka Wizara ya Viwanda na Biashara. Akizungumza katika kikao hicho kilichokutanisha wadau wote muhimu wa sekta hiyo, Balozi Waziri Salum amesisitiza kuwa lengo kuu la Serikali ni kupata suluhu ya kudumu itakayohakikisha saruji inapatikana kwa urahisi na kwa bei inayozingatia maslahi ya wazalishaji, wafanyabiashara, na wananchi wa kawaida. "Serikali imewataka wazalishaji kutumia muda huo wa siku saba kufanya tathmini ya changamoto zinazoathiri bei ya saruji na upatikanaji wake sokoni na kuwasilisha mapendekezo yanayoweza kusaidia kupunguza au kudhibiti ongezeko la bei ya bidhaa hiyo na upatikanaji wake," amesema Balozi Salum. Hatua hiyo imetajwa kuwa sehemu ya jitihada za Serikali za kuweka mazingira rafiki ya biashara nchini huku ikilinda walaji na kuhakikisha bidhaa zote muhimu za ujenzi zinapatikana bila usumbufu katika maeneo yote ya nchi. Baada ya kukamilika kwa muda huo wa siku saba, Serikali inatarajiwa kupitia na kufanya tathmini ya mapendekezo yatakayowasilishwa na wazalishaji hao ili kuchukua hatua za mwisho zitakazohitimisha changamoto hiyo ya bei na upatikanaji wa saruji.
- Aug 18, 20264.7x their median
VIDEO: Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imesema haijaridhishwa na utekelezaji wa baadhi ya manunuzi yaliyofanywa na Chuo Kikuu cha Mzumbe, baada ya kubaini ukiukwaji wa sheria na taratibu za manunuzi katika hoja zilizowasilishwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka wa fedha 2024/2025. Akizungumza na waandishi wa habari leo, Agosti 18, 2026, Bungeni jijini Dodoma, Mwenyekiti wa PAC, Mheshimiwa Devotha Minja, amesema Kamati haijaridhishwa na majibu yaliyotolewa na Chuo hicho kuhusu hoja hizo, ikiwemo manunuzi yenye thamani ya shilingi bilioni 29.77 yaliyofanywa kutoka kwa wazabuni ambao hawakukidhi vigezo vilivyowekwa. Kwa mujibu wa taarifa ya CAG, pia kuna shilingi bilioni 1.54 zilizolipwa kwa watu ambao hawakukidhi viwango vilivyotakiwa. Kamati imeeleza kuwa hoja hiyo inahitaji maelezo na hatua stahiki ili kuhakikisha matumizi ya fedha za umma yanafuata sheria na taratibu. Aidha, PAC imeeleza kutoridhishwa na ujenzi wa barabara chini ya kiwango wenye thamani ya shilingi milioni 523, pamoja na madai ya ziada ya shilingi milioni 718 ambayo Kamati imesema hayakustahili na hayakuzingatia masharti ya mkataba. Minja amesema kutokana na uzito wa hoja hizo, Kamati inaendelea kutafakari hatua zaidi za kuchukua ili kulishauri Bunge ipasavyo kuhusu namna ya kushughulikia kasoro hizo na kuimarisha uwajibikaji katika matumizi ya fedha za umma. Hoja hizo zimeibuliwa wakati PAC ikijadili Taarifa ya Hesabu zilizokaguliwa za Chuo Kikuu cha Mzumbe kwa mwaka wa fedha 2024/2025.
- Aug 17, 20264.0x their median
VIDEO: 📍KAGERA - Mkazi wa Mtaa wa Rwamishenye katika Manispaa ya Bukoba, Frank Stanley, amelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Bugando jijini Mwanza, huku familia yake ikiomba uchunguzi kufanyika kubaini mazingira yaliyosababisha kulazwa kwake akiwa katika hali mbaya kiafya. Taarifa zinaeleza kuwa Frank amelazwa katika Wodi Namba 6 tangu Agosti 8, 2026, huku ndugu zake wakisema hali yake bado ni mbaya. Baba mzazi wa Frank, Stanley Ndibalema, amedai kuwa mwanawe alikamatwa na Polisi Julai 30, 2026, na tangu wakati huo familia imekuwa ikifuatilia taarifa kuhusu hali na mahali alipo, huku wakieleza kuwa wamekuwa wakipata majibu ambayo hawajayaelewa kikamilifu. Akizungumza kuhusu hali hiyo, Ndibalema amesema familia inaomba uchunguzi wa kina kufanyika ili kubaini kilichotokea na hatua zinazofaa kuchukuliwa. “Kitu kinachotuumiza sana kama familia ni namna kijana alivyokamatwa na kufikishwa hospitali ha Bugando kwahiyo sisi tunacho kiomba sana tupate kijana wangu akiwa hai kama ni adhabu ya kisheria apewe sio kutaka kumdhurumu uhai wake, namuomba Rais, Waziri Mkuu, Waziri wa Mambo ya Ndani na IGP waingilie kati haki ipatikane watu wote walio husika wawajibishwe,” amesema. Mama mwenye nyumba aliyokuwa akiishi Frank, Leticia Josephat, amesema mara ya mwisho kijana huyo aliondoka nyumbani akiwa katika hali nzuri, lakini aliporejea akiwa ameambatana na polisi kwa ajili ya upekuzi, alionekana akiwa na alama mwilini na akiwa amedhoofika. “Sisi tunaomba polisi watuelezee Frank aliuguaje wakati alitoka hapa akiwa mzima, walipomleta alikuwa amepigwa nguvu zake zilikuwa hazipo vizuri na walivyomrudisha ndo wanadai alizimia sasa tunataka kujua walimfanya nini mpaka akafikia kuzimia mpaka sasa haongei, haamki, hasimami wala kutembea,” amesema. Kwa upande wake, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, Blasius Chatanda, amethibitisha kuwa Frank alikamatwa na makachero wa polisi kufuatia tuhuma za kuhusika na matukio ya wizi. Kuhusu madai ya Frank kuteswa au kujeruhiwa akiwa mikononi mwa polisi, Chatanda amesema suala hilo linashughulikiwa na mamlaka husika ambazo zinaendelea na uchunguzi ili kubaini ukweli wa jambo hilo.
- Aug 18, 20263.2x their median
Tume ya Uchaguzi ya Zambia (ECZ) imemtangaza rasmi Rais aliyepo madarakani, Hakainde Hichilema, kuwa mshindi wa Uchaguzi Mkuu wa Urais nchini humo kwa kuibuka na asilimia 60 ya kura zote zilizopigwa. Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi, Mwangala Zaloumis, ametangaza matokeo hayo leo Jumanne, tarehe 18 Agosti 2026, akibainisha kuwa ingawa matokeo ya majimbo matano (5) kati ya 226 yalikuwa bado hayajakamilika, takwimu hizo hazina uwezo wa kubadilisha matokeo ya mwisho ya kinyang'anyiro hicho. Kwenye uchaguzi huo uliokuwa na wagombea 13, Hichilema (64) anayeongoza tangu mwaka 2021 kupitia chama cha UPND, alifuatiwa na mpinzani wake mkuu, Brian Mundubile (55) wa chama cha NRPUP, aliyepata takribani asilimia 38 ya kura. Akizungumza mara baada ya kutangazwa kuwa mshindi wa kiti cha Urais, Rais Hichilema ameeleza kuguswa na ushindi huo huku akiahidi kuwatumikia hata wale waliowapigia kura wapinzani wake: "Tunyenyekevu mkubwa kwa uaminifu mliouweka mikononi mwetu. Kwa wale wananchi waliopendelea mawazo yaliyowasilishwa na wapinzani wetu, tunawasikia na tutaendelea kuwatumikia na kuwafanyia kazi," amesema Hichilema. Mara baada ya kutangazwa kwa matokeo hayo, mamia ya wafuasi wa chama cha UPND wakiwa wamevalia mavazi ya rangi nyekundu walifika katika mitaa ya mji mkuu wa Lusaka, wakiimba, kucheza na kulipua fataki kusherehekea ushindi huo. Ushindi huo unakuja katikati ya vuguvugu zito la kisiasa kufuatia upinzani kulalamikia vitendo vya vitisho na matumizi mabaya ya vyombo vya dola kabla na baada ya siku ya upigaji kura. Siku ya Jumatatu, Mundubile alichapisha ujumbe wa video akidai kuwa nyaraka za matokeo zilibadilishwa, hasa katika Mkoa wa Kusini (Southern Province), ili kumpendelea mgombea wa chama tawala. Mvutano huo uliingia dosari zaidi kufuatia tangazo la serikali siku ya Jumapili kuwa polisi waliwakamata watu 11, wakiwemo viongozi sita wa upinzani, katika msako dhidi ya kile walichokiita "shughuli za kigaidi na kundi la waasi." Serikali ilidai watuhumiwa hao walikutwa na silaha nzito za kijeshi na risasi. Hata hivyo, chama cha NRPUP kilikanusha vikali madai hayo kikieleza kuwa operesheni hiyo ya polisi ilifanyika nyumbani kwa Mundubile ambapo risasi zilipigwa na kusababisha mbunge mmoja kujeruhiwa. "NRPUP inakataa kwa dharau kubwa madai yote ya uongo yaliyotolewa na Serikali ya Zambia kwamba uongozi au wanachama wetu wanahusika na uasi au makundi ya kigaidi," ilieleza taarifa ya chama hicho.
- Aug 17, 20261.7x their median
VIDEO: Wananchi wa Kata ya Msingi, Wilaya ya Mkalama mkoani Singida, wamepata matumaini ya kupata ufumbuzi wa changamoto ya maji baada ya Mbunge wa Iramba Mashariki, Jesca David Kishoa, kuwasiliana moja kwa moja na Waziri wa Maji, Juma Aweso, wakati wa mkutano wa hadhara jimboni humo. Wananchi walimweleza Mbunge huyo adha wanayoipata kutokana na ukosefu wa maji na kumuomba achukue hatua za haraka ili changamoto hiyo iweze kutatuliwa. Akizungumza kwa njia ya simu, Agosti 16, 2026 Waziri Aweso amepokea malalamiko hayo na kuahidi kutuma wataalamu wa maji wilayani Mkalama kesho, kwa ajili ya kufuatilia hali hiyo, kubaini chanzo cha changamoto na kuangalia hatua zinazopaswa kuchukuliwa. Hatua hiyo imewapa wananchi matumaini ya kuona changamoto hiyo ikianza kushughulikiwa, huku wakisubiri ujio wa wataalamu hao na matokeo ya uchunguzi wao. Katika mkutano huo, Mbunge Kishoa pia ametoa mifuko 200 ya saruji kwa ajili ya ujenzi wa Kituo cha Afya cha Msingi, hatua inayolenga kusaidia kuboresha huduma za afya kwa wananchi wa eneo hilo. Kwa sasa, macho ya wananchi yako kwa ujio wa wataalamu wa maji, huku wakitarajia uchunguzi huo utakaofanyika kesho utoe majibu na hatua za kupata suluhisho la kudumu la changamoto ya maji.
- Aug 18, 20261.5x their median
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais- Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo, amepongeza ubunifu mkubwa uliooneshwa na wanafunzi wa Chuo cha Mtakatifu Joseph (St. Joseph) cha jijini Dar es Salaam, huku akitangaza kuwa Serikali itashirikiana kwa karibu na vyuo binafsi kuhakikisha masomo ya sayansi yanapewa kipaumbele ili kupata wahandisi wengi na kuondoa utegemezi wa wataalamu kutoka nje. Profesa Mkumbo ameyasema hayo mwishoni mwa wiki wakati akizungumza kwenye maonesho ya Wiki ya Tafiti na Ubunifu katika chuo hicho, ambapo wanafunzi walionesha teknolojia mbalimbali za uhandisi na sayansi. Ameeleza kuwa chuo hicho kimekuwa kikiongoza kwa muda mrefu katika kutoa wataalamu wa fani hiyo, hivyo anakitaka kuendelea kushikilia nafasi yake ya ukinara nchini. Pamoja na pongezi hizo, Profesa Mkumbo ametoa changamoto kwa uongozi wa chuo hicho kuhakikisha kazi za ubunifu za wanafunzi hazibakii vyuoni kama mawazo pekee, bali ziunganishwe na sekta ya viwanda ili kuleta matokeo halisi na kusaidia ajira. “Nimejionea ubunifu mkubwa sana kwa wanafunzi wenu lakini kinachosikitisha ni kuwa ubunifu huo unaishia kuwa wazo tu haufikii mwisho kwa hiyo nawapa changamoto mhakikishe ubunifu wa wanafunzi wenu unaunganishwa na viwanda na kuwa halisi,” alisema Profesa Mkumbo. Amesisitiza kuwa ili mwanafunzi ajiajiri au kuajiriwa kwa urahisi lazima aoneshe matokeo ya kile alichobuni badala ya kuacha mawazo hayo kuishia kwenye majengo ya chuo, huku akiwataka wanafunzi kuendelea kubuni vifaa nafuu vinavyotatua kero za kijamii. Katika hatua nyingine, Waziri Mkumbo ameeleza kufurahishwa kwake na ubunifu wa wanafunzi hao katika matumizi ya nishati safi ya kupikia majumbani, akibainisha kuwa hatua hiyo inaunga mkono kwa vitendo jitihada za Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan za kuhamasisha matumizi ya nishati safi nchini. “Rais Samia Suluhu Hassan amekuwa akifanya jitihada kubwa kuhakikisha wananchi wake wanatumia nishati safi ya kupikia kwa hiyo nilipoona na nyinyi mmebuni matumizi ya nishati safi nilifurahi sana, nawapongeza sana,” alisema Waziri Mkumbo. Akiipongeza menejimenti na Makamu Mkuu wa chuo hicho kwa kuanzisha vituo vitano vya uhamiri vinavyofundisha masuala ya sayansi, Profesa Mkumbo ameeleza kuwa jitihada zao kwenye maeneo ya roboti na akili mnemba (Artificial Intelligence) zinakwenda sambamba na mwelekeo wa dunia na maandalizi ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 inayolenga kuimarisha matumizi ya teknolojia. Aidha, amempongeza mwanzilishi wa chuo hicho kwa uamuzi wake wa kijasiri wa kuwekeza katika elimu ya sayansi kupitia sekta binafsi wakati ambapo sekta hiyo ilikuwa haijapata mapokeo makubwa kama ilivyo sasa.
- Aug 19, 2026
VIDEO: Kesi inayomkabili Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Melkisedeki Kitunzi Kaijage, imeahirishwa hadi Agosti 27, 2026, baada ya Hakimu Mkazi anayesikiliza shauri hilo kutokuwepo mahakamani. Kaijage anakabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi yenye namba 16278 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma, ambapo kwa mujibu wa Wakili wake, Godfrey Wasonga, anatuhumiwa kwa makosa yanayohusiana na sheria ya kuzuia ugaidi. Akizungumza Agosti 19, 2026 jijini Dodoma, Wakili Wasonga amesema mteja wake anatuhumiwa kuwa Julai 3, 2026 akiwa katika maeneo ya UDOM, alikuwa na nia ya kuchoma majengo ya umma pamoja na makazi ya askari Polisi katika maeneo mbalimbali nchini, ikiwemo Zanzibar. “Si majengo ya umma tu, pia anatuhumiwa kwamba anataka kuchoma makazi ya askari Polisi Tanzania nzima ikiwepo na Zanzibar,” amesema Wakili Wasonga. Amesema tuhuma hizo zinahusisha majengo mbalimbali ya umma, ikiwemo shule, zahanati, mahakama na majengo mengine ya Serikali, huku akieleza kuwa suala hilo liko chini ya vifungu vya sheria ya kuzuia ugaidi. Kwa sasa, Wakili Wasonga amesema hatua inayofuata katika kesi hiyo ni uchunguzi wa awali (Preliminary Inquiry), ambao unalenga kuwezesha shauri hilo kupelekwa Mahakama Kuu kwa ajili ya kusikilizwa. Hata hivyo, kikao cha kesi hiyo kilichopangwa kufanyika Agosti 19 hakikuendelea baada ya Hakimu Mkazi anayesikiliza shauri hilo, Zabibu Mpangule, kutokuwepo. Kwa mujibu wa Wasonga, shauri hilo lilitajwa mbele ya Hakimu Kombe na sasa limepangwa kutajwa tena Agosti 27, 2026, ambapo pande zote zinatarajiwa kufahamisha mahakama hatua inayofuata. Wakili huyo amesema siku hiyo itatoa mwelekeo wa namna shauri hilo litakavyoendelea.
- Aug 17, 2026
Ushahidi upande wa Jamhuri kwenye kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Tundu Lissu umefungwa rasmi leo Agosti 17, 2026. Majira ya saa nne kamili katika Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo Dar es Salaam kesi hiyo ilianza ambapo upande wa Jamhuri kupitia Wakili wa Serikali Mkuu Nassoro Katuga aliwasilisha taatifa ya maombi ya kuufunga ushahidi huo akieleza kuwa wanaona mashahidi ambao mpaka sasa wametoa ushahidi kwa upande wao wanatosha. Akiwasilisha maombi hayo mbele ya Jopo la Majaji watatu wakiongozwa na Jaji Dunstan Ndunguru Wakili Katuga amesema “Waheshimiwa Majaji wa Mahakama Kuu kuwa upande wa Jamhuri baada ya kupitia ushahidi ambao tayari umewasilisha mahakamani na kuangalia ushahidi uliobakiwa kwa maana mashahidi waliobaki tumeuchambua na kuangalia hoja zilizokubaliwa upande wa jamhuri ukajikuta kwamba unaona ushahidi ambao tayari umeshautoa ni ushahidi toshelezi na kuleta ushahidi zaidi kuthibitisha hoja ambazo zilikubaliwa wakati wa hoja za awali(Preliminary hearing)ni kinyume cha sheria.” Amesema Katuga “Hivyo basi tunafurahishwa kuitaarifu mahakama hii tukufu kwamba upande wa jamhuri umefunga ushahidi wake kwa mashahidi hao 17.” aliongeza Katuga Lissu alieleza mahakama kuwa hana shida na hoja hiyo huku Majaji wakikubaliana na hoja hiyo, kwa sasa kesi inaendelea tutakuletea habari kamili za mwenendo wa leo utaipata baadae. Ikumbukwe katika kesi hii Jamhuri ilikuwa na jumla ya mashahidi 30 lakini hata hivyo ilishaeleza haitalazimika kutumia mashahidi wote bali itatumia wale ambao itaona wanatosha kukamilisha ushahidi wao.
Ranked by total interactions across everything we have tracked for this account, which is a longer history than the 30-day window the rates above use. The multiple compares each post to this account's own median.
Buy or sell X accounts - escrow-protected
PlayerSells is an escrow marketplace for X accounts. Every deal is protected, with no middleman risk.
Reading these numbers
A typical post picks up 26 interactions against 960K followers, an engagement rate of 0.003%. Measured over 40 original posts, its engagement rate beats 23% of 1,003 tracked accounts of a similar size. That is a reason to look at how the audience behaves - reply depth, saves, whether the followers are recent - rather than a conclusion about it on its own. Posts are seen about 3.5K times each, and 0.724% of those impressions turn into an interaction. That is about 0.367% of the follower count, which is the gap between an audience on paper and an audience in a timeline. Posting runs at about 1.3 post a day over the last 30 days, though only 10% of days saw any activity at all. Most posts go out around 12:00 UTC, and Wednesday is the busiest day of the week. Of the 40 posts sampled, 93% carry an image or video and 13% link out. The account's strongest tracked post pulled 202 interactions, about 7.8x its own typical post.
- What is Jambo TV's engagement rate on X?
- Jambo TV (@Jambotv_) has an engagement rate of 0.003%, based on the median interactions across 40 original posts from the last 30 days against 959,918 followers. Replies, reposts and quote-posts of other people are excluded from that sample.
- Is that a good engagement rate?
- At 0.003%, Jambo TV sits above the 10th percentile of the 9,981 accounts in this comparison. Those comparison accounts are all large ones, because our scanning cadence is weighted towards big accounts, so this is a ranking among peers of similar scale rather than a ranking across X.
- Does @Jambotv_ have real engagement?
- Its engagement rate beats 23% of the tracked X accounts closest to it in follower count (1,003 accounts), which puts it in the bottom quarter for its size group. Ranking inside a size band matters because engagement rate falls as accounts grow, so a raw rate would mostly re-measure the follower count. It is a starting point for a look at follower quality, not a verdict on it.
- When does @Jambotv_ post?
- Most posts go out around 12:00 UTC, and Wednesday is its busiest day, at roughly 1.33 posts per day across the measured window.